TANZANIA, EU KUPANGA ROADSHOW YA UWEKEZAJI NA BIASHARA ULAYA
Mkurugenzi wa Idara ya Diplomasia ya Uchumi katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi John Ulanga, amekutana na…
Mkurugenzi wa Idara ya Diplomasia ya Uchumi katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi John Ulanga, amekutana na…
Zaidi ya wagonjwa 500 hutibiwa magonjwa ya saratani katika hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya. Hayo yamebainishwa na Dkt Tibera Rugambwa Kaimu kitengo cha…
Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma, Jaji Mstaafu Hamisa Kalombola, amewataka watumishi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) kuzingatia maadili ya utumishi…
Na Sophia Kingimali, Dar es Salaam WATANZANIA wametakiwa kutumia changamoto za mazingira kama fursa za kukuza uchumi, kuongeza ajira na kuimarisha ustawi wa wananchi,…
Taasisi ya Kuthibiti Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI) imeendelea kutekeleza shughuli za uthibiti wa ubora wa mbegu nchini kwa kutembelea Mkoa wa Manyara, Wilaya…
Asisitiza GRID IMARA Simiyu ikamilike kwa wakati WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewapongeza viongozi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa kuhakikisha Kituo cha…
Na MWANDISHINWETU, Iringa CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitaendelea kuwa mfano wa demokrasia nchini, kikisisitiza kuwa misingi hiyo inaanza ndani ya Chama chenyewe. CCM…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi amesema Tanzania imepiga hatua katika mapambano dhidi ya saratani, kufuatia uwekezaji wa…
Na Victor Masangu, Kibaha Katika kuunga mkono juhudi za Rais wa awamu ya sita Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuwakomboa wanawake katika kujikwamua kiuchumi…
NA DENIS MLOWE, IRINGA WANANCHI wa Kata ya Kitanzini katika Jimbo la Iringa Mjini wamemtaka Mbunge wao, Fadhili Ngajilo, kusimamia kwa nguvu zaidi utekelezaji…
*Awataka vijana kuchangamkia fursa * Aagiza leseni zisizoendelezwa zipewe vijana WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka vijana wa Kitanzania wachangamkie fursa zilizopo katika sekta…
BANGKOK, Thailand: Tanzania imeeleza dhamira yake ya kuchukua nafasi muhimu katika kuunda kizazi kijacho cha uzalishaji na usambazaji wa gesi asilia duniani, kwa kuendeleza…
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, amemtembelea na kumpa pole Mbunge Mstaafu wa Jimbo…
Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro imeendesha mafunzo ya ujasiriamali kwa Malaigwanani ,wazee na kina mama maarufu wapatao 33 kutoka kata 11 za ndani ya…
Na Oscar Assenga, TANGA NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara ,Dennis Londo amesema Serikali haitawavumilia wafanyabiashara wa mkonge wanaofanya udanganyifu katika masoko ya nje…
Dar es Salaam Makandarasi wanaotekeleza miradi ya ujenzi wa miundombinu ya barabara za kuingia viwanja vya mazoezi na uendelezaji wa barabara ya uwanja wa…
Na Mwandishi wetu – Dar es Salaam Taasisi ya OpenMap Development Tanzania (OMDTZ) kwa kushirikiana na Serikali imeanza zoezi la kukabidhi Mipango ya Kata…
NGORONGORO | SEPTEMBA 14, 2026 Watumishi wa Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa wamefanya ziara ya utalii wa…
NMB Foundation imetoa wito kwa wahitimu wa Kidato cha Sita mwaka 2026 wenye sifa kuwasilisha maombi ya Nuru Yangu Scholarship and Mentorship kabla ya…
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, ameanza ziara maalum ya siku nne katika Klabu ya FC Barcelona nchini Hispania kwa mwaliko…
Na: OWM – TAMISEMI, Mchinga – Lindi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Mhe. Prof.…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam CHAMA cha Wafanyakazi Wakusanya Mapato Tanzania (TAREWU) kimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) na TIB Rasilimali Limited, ikiwa ni…
Na Sophia Kingimali, Dar es Salaam MRADI wa Digital Tanzania umewezesha kuboresha mawasiliano ya kimtandao na upatikanaji wa huduma za Serikali kwa njia ya…
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Jamhuri ya Serbia, mwenye makazi yake Roma, Italia, Mhe. Mbarouk Nassor Mbarouk, amewasilisha Hati za Utambulisho…
Serikali imewataka Watanzania kuepuka kuingiza nchini gesi zilizopigwa marufuku na vifaa vinavyotumia gesi zinazoharibu Tabaka la Ozoni, ikiwemo majokofu na viyoyozi vilivyotumika, ili kulinda…
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linachunguza tukio la mauaji ya kijana aitwaye Steven Karakira Kaaya, (24), Mkazi wa Mtaa wa Boma Mbuzi, Wilaya…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius Ndejembi akiongoza kikao cha Maandalizi cha Viongozi na Wataalamu mbalimbali wanaoshiriki Jukwaa la…
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amemuagiza Waziri wa Kilimo kukutana na wadau wa zao la pamba na ndani ya mwezi mmoja kuwasilisha mapendekezo ya…
DODOMA RS Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule, amewataka viongozi wa dini kutumia ushawishi na imani kubwa waliyonayo katika jamii kuimarisha maadili…
Tume ya Utumishi wa Umma imeipongeza Wizara ya Nishati kwa kuzingatia sera, sheria, kanuni na taratibu zinazoongoza Utumishi wa Umma katika utekelezaji wa majukumu…
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Japan zimedhamiria kuendelea kuimarisha na kupanua wigo wa ushirikiano wa muda mrefu uliopo kati yao, kwa…
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha USHIRIKIANO kati ya Serikali na sekta binafsi umetajwa kuwa chachu katika utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, hususan…
Benki ya NMB imeorodheshwa katika nafasi ya tisa duniani ndani ya Daraja la Sita la benki zenye mali ya kati ya Dola za Marekani…
Na Farida Said Mkinga, Tanga Uwekezaji mkubwa unaotekelezwa na Chuo Kikuu Mzumbe kupitia ujenzi wa Kampasi ya Tanga, iliyopo Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga,…
Mwenyekiti wa Chama cha Wafugaji Tanzania, Bw. Mlida Mshota, Septemba 13,2026 amefika Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar, nyumbani kwa Rais wa Jamhuri ya…